Search This Blog

Tuesday, October 26, 2010

WAANGALIZI WA UCHANGUZI WAPO NCHINI TAYARI

Tayari waangalizi wa Kimataifa wapo nchini wanafuatilia mchakato wa uchaguzi wa nafasi za Urais, Ubunge na Udiwani. Katika harakati hizi za kampeni tunategemea Waangalizi hawa watafuatilia kwa makini mwenendo mzima wa zoezi la uchaguzi mkuu 2010. Hapa ni leo jijini Mwanza wakati Mgombea wa CCM alipowasili kunadi sera za chama cha CCM viwanja vya Sahara jimbo la Nyamagana.

No comments:

Post a Comment