Search This Blog

Saturday, October 16, 2010

DR. SLAA AZIDI KUITEKA JAMII

Mgombea urais kupitia chama cha Demokrasi na maendeleo (CHADEMA) Dk.Willibrod Slaa akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Chato ,katika mwendelezo wake wa mikutano ya lala salama kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba 31 mwaka huu 2010. 

No comments:

Post a Comment