Search This Blog

Monday, October 11, 2010

KWA KUMBUKUMBU ZAKO

UNAUKUMBUKA HUU MTI?????
Enzi za utawala wa Kijerumani mti huu uliopo katikati ya jiji la Mwanza ulitumika kwa kuwanyonga wananchi wa Tanganyika enzi hizo pale walipokutana na hatia.
Mamlaka ya Jiji la Mwanza umeuhifadhi kwa ajili ya kumbukumbu hiyo.
Kwa sasa mti huu unaonekana hivi. Umepakwa rangi ili kuweka hiyo kumbukumbu ya mti huo wa kihistoria vizuri zaidi.


No comments:

Post a Comment