Search This Blog

Sunday, October 24, 2010

CCM NA BIASHARA ZAKE ZINAMSAIDIAJE MWANANCHI MASKINI?

Maji ya kunywa ya chupa ya  CCM



Wakati hali halisi ya upatikanaji wa maji maeneo mengi nchini iko hivi. 
Kwa nini CCM wasijenge visima vizuri vinavyotoa maji safi na salama ambavyo vitawasaidia wananchi wengi masikini kuliko kutengeneza maji ya chupa ambayo wananchi wengi hawawezi kumudu kuyanunua??. Maana kulingana na hali ya umasikini ilivyo sidhani watanzania wengi wataweza kununua maji ya chupa wakati hali yao ya kipato ni duni.


HEBU CHECK HAPA CHINI
Raba bomba kichizi ya Rebo ya CCM (watengenezaji) kwa bei ya kawaida ni kati ya Tsh. 60,000/ hadi 100,000/ kwa maduka mengi jijini DSM na Mwanza.


Checkshia babaaake hali halisi hapo chini  vijana walivyotinga miguuni.
Ni Vijana wangapi nchini wenye kipato cha kuweza kununua viatu hivyo vya CCM?? 
Je Miradi hii ya CCM na mingine iliyopo inawezaje kumsaidia mwananchi mwenye kipato kiduchu? Kwa nini Serikali ya CCM isiwe na mipango yenye manufaa kwa jamii kuliko kuwa na mipango ya kuwanufaisha wachache?????Mafisadi??
KURA YAKO TAREHE 31/10/2010 Itaweza kuleta mabadiliko makubwa ya hali ya uchumi katika jamii na kuboresha huduma muhimu za jamii. 

NAWAKILISHA



No comments:

Post a Comment