Search This Blog

Wednesday, October 13, 2010

ATM NAKO KUNA VIJIMAMBO!!!!!!!!!

Mshikaji umepata dharura baada ya mishemishe kibao town, then unaamua kwenda kwenye ATM angalau kuvuta kiasi uweze kujikimu. Eeeeh!!!!!!Kuingia tu unakutana na maneno hayo hapo juu. Duuuu! ni kasheshe hasa kama ishu yenyewe imesababishwa na kukuwepa umande ndo hivyo tena na ka-muda nako kamebaki kiduuuuchu! Mwana waneeee weeeeee

No comments:

Post a Comment