Search This Blog

Friday, October 22, 2010

HII HESHIMA ILIKUWA WAPI SIKU ZOTE?????? KWA NINI KIPINDI HIKI???

Mhe. Shukuru Kawambwa akiomba kura kwa Wananchi huku akiwa amepiga magoti. Swali la kujiuliza ni ...Je siku zote huwa anapiga magoti katika shughuli mbalimbali za jamii. Mbona alipokuwa akiwakilisha bajeti bungeni hakuwahi kuonekana akipiga magoti kuomba bajeti ya wizara ipite?????? Jamani !!!!!!!!! Je ni kawaida yake??? Kwa nini hadi apige magoti kipindi hiki cha uchaguzi????  mwanamme mzima...*****????  Mmmmmmh!


HEBU CHEKI PANDE HIYO HAPO CHINI............KAMANDA ANAKOMAA TU KIAINA HAKUNA CHA KUPIGA MAGOTI.
Mhe. Zitto Kabwe akiomba kura kwa Wananchi.  

NOTE: Nadhani kinachotakiwa ni SERA tu siyo kupiga Magoti . Jamii iwe makini na wanaotafuta nafasi za Uwakilishi kwa njia zisizozoeleka katika jamii kama kupiga magoti na kulia.

No comments:

Post a Comment