Search This Blog

Sunday, October 10, 2010

TAIFA STARS YAPIGWA 1-0 NA MOROCCO.

Rais Kikwete akiwasalimia washaabiki wakati akienda kukagua vikosi vya taifa Stars na Morocco jijini DSM. Moroco walishinda 1-0.
Kikosi cha Taifa Stars kilichoanza na Morocco
Kikosi cha Morocco
Nahodha wa Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa (kushoto) akisalimiana na mwenzake wa Morocco, Kharja Houssine kabla ya gemu kuanza jijini DSM
Mshambuliaji wa Stars, Danny Mrwanda anayechezea soka la kulipwa huko Vietnam (katikati) akiwa amebanwa na wachezaji wa timu ya Morocco, Kharja Houssine (kulia) na Soulaimani Rachid. 
Hekaheka langoni mwa Morocco
Mshambuliaji wa Morocco, Chamakh Marouane ambaye anaichezea klabu ya Arsenal ya Uingereza akiipangua ngome ya Stars wakati wa mchezo wa kufuzu Fainali za Afrika uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Taifa stars walipewa support na washahabiki ili washinde mechi hiyo muhimu lakini ngoma ikawa ngumu. 
Checkshia babaakeee!!!!!!!!! Lakini tulitoka vichwa chini.

No comments:

Post a Comment