Search This Blog

Saturday, October 30, 2010

KESHO TUFANYE UAMUZI MAKINI KWA UJASIRI.

SHUGHULI KUBWA NI KUPIGA KURA KUWACHAGUA RAIS, WABUNGE, NA MADIWANI. Hivyo tujitokeze kwa wingi kuwachagua wawakilishi hawa. Baada ya kupiga tu kura rudi nyumbani ukaendelee na shughuli zingine za ujenzi wa Taifa. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
TUKAPIGE KURA


TUNAOMBA HAYA YASITOKEE KABISA.............
............KUGOMBANIA KADI YA MPIGA KURA PALE INAPOFICHWA AU KUUZWA.
KUWALAZIMISHA WANAWAKE WAMPIGIE KURA MGOMBEA WASIYEMTAKA. Hapo ndo utasikia.............weee mama naniii kwa nini hutaki kumpigia kura yule mgombea?? Utanikoma leo.

LAKINI WADAU WANGU MIMI NINAWAAMBIA KWAMBA....KURA YAKO NI YA THAMANI KWA KIZAZI HIKI KINACHOHITAJI MABADIRIKO YA KIUCHUMI.

Your VOTE is your FUTURE


No comments:

Post a Comment