Search This Blog

Friday, February 11, 2011

Habari zilizokatika- MUBARAK WA MISRI AACHIA NGAZI

Jeshi lashika madaraka Misri
 Field Marshal Mohammed Hussein Tantawi Soliman.
 Jeshi la Misri latwaa madaraka na mkuu wa Baraza la Juu la Kijeshi- Higher(Supreme) Military Council ni Field Marshal Mohamed Hussein Tantawi Soliman ndiye kiongozi wa serikali ya kijeshi nchni Misri:Mohamed Hussein Tantawi Soliman (Arabic: محمد حسين طنطاوى; alizaliwa 31 October 1935) 
 Jenerali Omar Suleiman aliyekuwa Makamu wa Raisi wa Hosni Mubarak:
 Kabla ya hapo alikuwa mkuu wa Idara ya Usalama wa taifa wa Misri:Omar Suleiman (Arabic: عمر سليمان, alizaliwa July 2, 1936) 
 Mkaruka huyu General Hosni Mubarak ambaye ameng'olewa na pipoz pawa, ana miaka 82
Mitaani watu weweeeeeeee!!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment