Search This Blog

Sunday, October 24, 2010

HAKIKI KAMA UTAPIGA KURA



Wadau wangu wote,

TIII KURA YAKO kwa kumchagua mgombea anayestahili

Ukiingia kwenye website ya NEC na kuweka nambari ya mpiga kura utaweza ona online status yako (mpiga kura) na kituo chako cha kupigia kura. Taarifa wanazozitoa ni sahihi kwa asilimia 100. Wadau wote tutizame status zetu ili kuepukana na disappointments za dakika za mwisho.

Hii itazidi kutupa uhakika wa kupiga kura zetu sahihi siku hiyo ya tarehe 31 Oct 2010.

Hongereni NEC kwa kuweza kufanikisha hili.

Link ya kufuata ni hii…

http://www.nec.go.tz/?modules=gallery⊂

No comments:

Post a Comment