Search This Blog

Sunday, January 23, 2011

CHADEMA NA MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Mkutano wa hadhara DSM

Katibu Mkuu Dr. Slaa akisalimiana na wananchi

 Mwanzilishi wa Mageuzi Nchini Tanzania Mabere Marando ambaye kwa sasa ni mwanachama wa Chadema akiwasalimia mamia ya wananchini waliofurika kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya mtaa wa mwongozo Makuburi-Mabibo  Dar es Salaam
 Mbunge wa Kigoma Kaskazini ambaye pia ni naibu katibu mkuu wa chadema Zitto Kabwe akimwaga cheche kwenye mkutano huo na ulioudhuriwa na wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali mbalimbali na Mamia ya  wananchi
 Wananchi wakirudisha kadi za CCM na kujiunga CHADEMA
 Sehemu ya umati wa watu
"Narudisha kadi ya CCM najiunga CHADEMA leo"

No comments:

Post a Comment