Search This Blog

Wednesday, October 13, 2010

KUKUMBATIANA NI DAWA!!!!!!!!

Inasemekana kukumbatiana na rafiki,ndugu,jamaa,mpenzi kwa angalau sekunde 20 kila siku kuna manufaa kiafya.Kitendo cha kuunganisha mwili wako na mtu mwingine kwa upendo inasaidia kuondoa stress kwa wakati huo haimaanishi ndio tiba ya stress.

Haya tukumbatiena kwa afya ya akili.

No comments:

Post a Comment