Search This Blog

Sunday, October 17, 2010

HII NAYO KALI KINOMA

SEMA " a, e, i, o, u"  ........       " a, i, o, e, uuuu"

SEMA "aaaa!!!"..........."aaaaa!"

HAYA BASI....1 +3 sawasawa na ngapi?    ........... Sawasawa na "aaaaaa"


Hii ni kwa kuwa anayefundishwa au kuelekezwa inaonekana hafuatilii kabisa!!!!!!!! Hii ndiyo elimu bora!? Angalia tofauti zilizopo ndo utangundua jamii imejiandaaje na kuinua kiwango cha maendeleo katika nchi hii ya Tanzania.

No comments:

Post a Comment