Search This Blog

Tuesday, October 26, 2010

Ray akamilisha Pretty Girl sasa tayari kuitupa Sokoni



Mohamed Mwikongi na Vicent Kigosi wote walishakutana pia katika filamu ya Shakira kama ndugu wa mama mmoja waliopotezana ambao wanamuoa mke mmoja kwa vipindi tofauti na mwanamke mwenyewe alikuwa Irene Uwoya.



Wanaonekana tena katika kava ya Pretty Girl yenye kibwagizo not my fault mhh nyie haya nyie.

No comments:

Post a Comment