Search This Blog

Thursday, March 31, 2011

MWAKA WA VIKOMBEEEEEEE!!!!!!!!!!!

BABU WA LOLIONDO

MAGRETH MUTALEMWA WA TABORA

FATUMA SENGO WA DODOMA

Kilianza kikombe cha Babu kule Loliondo (KKKT)….kisha kikombe cha brazameni kule Rombo (Mkatoliki); Bibi kule Tabora (Mkatoliki) na kule Mbeya Babu dogo (yawezekana akawa mMoravian huyu …lol). Sasa Fatuma Sengo (Muislam). Baada ya muda tutarajie Wasabato na Waanglikana, Wa Full Gospel, na wengine nao kuja na vikombe vyao…andaeni makoo yenu kupitisha hayo madawa!


Swali langu ni kuwa kwa nini hawa "Wataalamu" wanatumia vikombe?????

No comments:

Post a Comment