Search This Blog

Thursday, February 24, 2011

CHADEMA YARINDIMA JIJI LA MWANZA.

Viongozi wa CHADEMA WAKIWA KWENYE MAANDAMANO JIJINI MWANZA 

Viunga vyote vilijaa nguvu ya umma.

Mhe. Dk Silaa akiwahutubia umatu wa watu viwanja vya furahisha jijini mwanza

                   Pipooooozzzzz 

“Tumekuja kwenu kuomba kibali cha kuhakikisha mnatuunga mkono ili kuiondosha serikali ya CCM pamoja na Kikwete na hivyo tunaanzia Mwanza kuzindua mkakati huu wa kupita kufanya kazi hiyo mkoa hadi mkoa pamoja na kuwashukuru baada ya kuwachaguwa wabunge wa chadema”alisema Mbowe .

No comments:

Post a Comment