Search This Blog

Sunday, October 17, 2010

NI WAKATI WA KUFANYA UAMUZI SAHIHI

Ewe mwananchi wa Tanzania.
Makala zimeandikwa, Katuni zimechorwa, Picha zimepigwa, nyimbo zimeimbwa, hotuba zimetolewa. Hakika ni wakati wako sasa kufanya uamuzi sahihi.

"Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 ni baina ya 
UADILIFU na UFISADI, baina ya UMAKINI na USANII, baina ya HAKI na DHULUMA!!"
TUWE MAKINI KUCHAGUA KIONGOZI SHUPAVU.

No comments:

Post a Comment