Search This Blog

Sunday, October 24, 2010

SERIKALI INATAKA MAGAZETI YAANDIKE HIVI?

Serikali imekuwa ikiingilia vyombo vya habari kwa kuwapiga mikwara kibao ya kutishia kufungwa kwa baadhi ya magazeti!! Je wanataka sasa magazeti yaandike hivyo (kama linavyoonekana hapo juu) bila kugusia changamoto zinazoikabili jamii ili lisifungiwe????

No comments:

Post a Comment