Search This Blog

Monday, October 11, 2010

KIDUME NI NANI??????? KUDAAADEKI

Kuna wengine wakishwa kunywa bia ya 4 tu maneno kibaaaaoooo!!!! Mara mchongo huu mara michongo miiiingi kichizi isiyokuwa na tija kwa jamii. Hebu checkshia babaake Dogo anakamua ile mbaya. Hapo anamalizia bia ya 30 tu na ameagiza kreti ingine akomae nayo. Weweeeeee!!!!!

No comments:

Post a Comment