Search This Blog

Sunday, October 17, 2010

UKIONA MAMBO NI MAGUMU...JISALIMISHE TUUUUU!!!!

Huu ndio ujasiri, na demokrasia. Jamaa ilibidi apige salute kwa John Mnyika - Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo wakati wa kampeini. Ni uamuzi binafsi na sahihi hasa pale unapoona ni kiongozi gani anafaa kwa kizazi hiki cha sasa. October 31 KURA yako toa kwa KIONGOZI unayeona anafaa kuleta maendeleo endelevu kwa maslahi ya Taifa. Taifa hujengwa na viongozi IMARA, WAADILIFU,wazalendo  wanaofanya kazi kwa ajili ya jamii inayohitaji utawala bora. 

No comments:

Post a Comment