Search This Blog

Thursday, October 21, 2010

DR. SLAA ATIKISA KWA KISHINDO JIJI LA MWANZA

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza na vitongoji vyake, katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Magomeni, Kirumba jana jioni .
Umati huu wa watu ulifurika kusikiliza sera mathubuti za mgombea huyo licha ya kupigwa virungu na Polisi.
Pamoja na Virungu na maji yanayowasha waliyomwagiwa wananchi lakini hebu check umati ulifurika. Hadi kwenye paa la choo wananchi walipanda kumsikiliza Mgombea wa Chadema, Dr. Slaa
Wakati mwingine hata kama ni nguzo ina ncha kali wananchi wenye uchu wa kusilikilza INAWEZEKANA.
Pipoooooooz!!!!!!! Pawaaaaaaaaa!!!!!!



No comments:

Post a Comment