Search This Blog

Thursday, November 11, 2010

WABUNGE WAANZA KUTINGA MJENGONI

Mhe. Mr. II akiwa mjengoni. Du amebadirika ghafra wajameni!!!!!!!!

Mhe. Sita na Mhe. Anne Malecela wakisalimiana

Kidume...Dr. Slaa akisalimiana na wabunge Dodoma.

Hebu mcheki Mhe. Vick Kamata mguuni ...ametinga kikuku jamani...mweeeee!!!!! Bunge la mwaka huu ni balaa...Biashara ni matangazo.

Mhe. Halima Mdee na Mhe. Sitta wakisalimiana.

No comments:

Post a Comment