Search This Blog

Friday, November 5, 2010

NANI ALAUMIWE??? TUME? AU MPIGA KURA?

Ukiangalia kwa makini hiyo fomu/ karatasi ya kupigia kura utagundua kuwa mpiga kura aliwapigia wagomea watatu (3) badala ya mgombea mmoja. Je ni nani wa kulaumiwa??? Je TUME ya uchaguzi haijafanya kazi ya kushota kuielemisha jamii kuhusu upigaji wa kura??? Je mpiga kura amekiuka maagizo ya upigaji kura? 

No comments:

Post a Comment