Search This Blog

Wednesday, November 3, 2010

Dr. Shein ataapishwa muda si mrefu leo.


Huu ndio muonekano wa sasa wa uwanja wa amaan stadium ambapo asubuhi hii Rais mteule wa visiwa hivyo vya karafuu Dk. Ali Mohamed Shein ataapishwa rasmi kuwa Rais wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment