Search This Blog

Monday, November 1, 2010

WAZEE KAMA VILE WANA JAMBO.......

Dr. Salim, Mzee Warioba, Mzee Mkapa na Dr. Shein .Kama vile wamakubaliana jambo kama ....MATOKEO YOYOTE YATAKAYOTOKA NI KUKUBALIANA NAYO................Ewalaaaaa ni vema kama ikiwa hivyo!!!!! 

Ebu wana-blog wangu kaeni mkao wa kusubiri matokeo ya Nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani 2010

No comments:

Post a Comment