Search This Blog

Saturday, November 20, 2010

AJALI HAINA KINGA

Familia yangu tulipata ajali juzi maeneo ya Nundu-Buzuruga, Nyakato Mwanza, kijana wangu kamanda jr (7months) ndo alivunjika mguu wa kulia kama anavyoonekana hapo. Tulipata matibabu mazuri Bugando hospital kwa sasa hali zinaendelea poa. Tuombeane uzima na kupona kwa haraka. 
We surrender all to God.

1 comment:

  1. pole sana kaka, as you said God will make away and you will recover with your family soon brother

    ReplyDelete