Search This Blog

Sunday, November 14, 2010

50 CENT MFUASI WA FREEMASONS???

Cutris James Jackson III aka 50 Cent msanii mkali toka kwa Obama,amezua utata baada ya kuonekana ametupia kapelo yenye nembo inayofanana na dini ambayo inahusishwa na imani ya kishetani duniani,Fremasons. Nembo ya freemasons ni pembetatu na jicho moja na 50 Cent inasemekana alikua mstari wa mbele kuipinga dini hiyo hivi karibuni...ngoja tuone inakua vp,kama mwana ndio hivo tena au ni swagga tu!!!

No comments:

Post a Comment