Search This Blog

Wednesday, June 1, 2011

KAZI NI KWAKOOOOOO!

Hii ndiyo mikakati ya serikali hii ya kuinua kiwango cha elimu nchini...Kumbuka leo ni Siku ya Watoto duniani. Je huu ni uungwana???
 Kipindi cha mitihani wengine hutumia mbinu hizi. Ili mradi kufaulu!!!!
 Ukiona wezi na vibaka wamezidi ....tumia hii mbinu hapa chini!!
 Kazi ni kazi ............ ni ubunifu na uwezo wako tu.
 Tunaikumbukaje siku ya WATOTO DUNIANI?1/6/2011

No comments:

Post a Comment