Search This Blog

Friday, May 20, 2011

ETI KESHO NI MWISHO WA DUNIA???????

Nilisikia redioni, nikasoma mtandaoni na kwenye baadhi ya media, nikajionea na picha za watu wanaoamini kuwa kesho kutwa yaani tarehe 21 ni mwisho wa dunia, wanadai wamefunuliwa na ati imeandikwa hivyo ndani ya Biblia.  

Mwanzilishi wa UVUMI ama "UNABII" huo ni Mtangazaji wa na Rais wa Family Radio,  Harold Camping 
Camping anasema Tarehe 21 Mei ni siku ya unyakuo kwa wateule na kuwa miezi mitano baadaye yaani trh 21 Oktoba ndio mwisho wa dunia.  anadai hii ni kwa mujibu wa Biblia, japo sijaona popote anaponukuu andiko lisemalo hivyo. 
Kiasi gani mtabiri huyu yu sahihi? hii yanikumbusha Kibwetere wa Uganda. Je historia kujirudia???
Only time will tell. 
...and this is the Calculation as per Harold Camping:-

Another argument that Camping uses in favor of the May 21st date is as follows:
1. According to Camping, the number five equals "atonement", the number ten equals "completeness", and the number seventeen equals "heaven".

2. Christ is said to have hung on the cross on April 1, 33 AD. The time between April 1, 33 AD and April 1, 2011 is 1,978 years.

3. If 1,978 is multiplied by 365.2422 days (the number of days in a solar year, not to be confused with the lunar year), the result is 722,449.

4. The time between April 1 and May 21 is 51 days.

5. 51 added to 722,449 is 722,500.

6. (5 × 10 × 17)2 or (atonement × completeness × heaven)2 also equals 722,500.
Thus, Camping concludes that 5 × 10 × 17 is telling us a "story from the time Christ made payment for our sins until we're completely saved.

No comments:

Post a Comment