Search This Blog

Tuesday, June 14, 2011

NONDOZ ZINATAFUTWA KWA KASI: hapa ni CBE Mwanza

Hapa ni CBE Mwanza, wanachuo wa kozi mbalimbali wakijiandaa na mitihani ya kumaliza mwaka na wengine kumaliza kabisa chuo. Mijadala ya vikundi imekuwa ikisaidia kujengeana uwezo miongoni mwa wanachuo.

Hebu fikiria ndo umetoka kwa discussion chuoni ama shuleni ama ukiwa na mitikasi yako, unaamua kwenda kwenye ATM na akili imechoka, ile kingiza kadi tu unakutana na hii hali..............
Mwana blogu wenu anawatakia wanachuo wote CBE Mwanza, CBE Dodoma, CBE DSM, SAUT, UDOM, UDSM na vyuo vyote tanzania mafanikio mema katika mitihani yote!

No comments:

Post a Comment