Search This Blog

Saturday, April 2, 2011

WEST HAM 2 MANCHESTER 4...........premier league

Wayne Rooney kapiga hat-trick na kuiwezesha Manchester United kuikong'oli  West Ham United 4-2.
Kosa la Patrice Evra kuunawa mkono eneo la penati na faulo ya Nemanja Vidic kwa Carlton Cole kulisababisha  Mark Noble wa West Ham kushindilia magoli 2 kwa njia ya penati.Lakini Manu ilipata goli la nne kupitia kwa Javier Hernandez Chicharito na kuondoka na ushindi wa goli 4-2.

No comments:

Post a Comment