Search This Blog

Monday, April 11, 2011

BREAKING NEWS !!!! GBAGBO AKAMATWA!!

Hatimaye,Laurent Gbagbo amekamatwa kama Saddam Hussein akiwa amejificha shimoni huku jasho likimchuruzika. Ameondoka kwa aibu, pingu mikononi huku akipewa taulo ajifute jasho. Aliloa kuanzia kichwani hadi unyao. Alionekana kuchanganyikiwa akijifuta jasho hata kwenye makwapa bila aibu. Ni furaha iliyoje imla mwingine kuangukwa kwa kila aina ya aibu!Kwa habari zaidi, Bonyeza hapa.

No comments:

Post a Comment