Search This Blog

Saturday, April 2, 2011

HII INAASHIRIA NINI? USHINDI?? KIPIGO???

Upande huu wachezaji wa Simba Sports Club wakifanya mazoezi kwa ajili ya kuikabili TP Mazembe kesho.

Upande ule timu ya TP Mazembe wakikata mauno baada tu ya kuwasili uwanja wa ndege DSM.

Hii inaashiria nini?? Ushindi?? au Kipigo? Tusubiri kesho jumapili tarehe 3/4/2011

No comments:

Post a Comment