Search This Blog

Tuesday, July 19, 2011

MADUDU ALIYOFANYA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MADINI NA NISHATI...HATIMAYE AJIUZURU RASMI LEO.

Katibu Mkuu wa wizara hiyo David Jairo (CHINI) amejiuzuru wadhifa wake leo baada ya wabunge kumjia juu kufuatia kitendo chake cha kuziandikia barua taasisi zilizopo chini ya Wizara hiyo zitoe mchango wa sh. milioni 50, ili kufaikisha mchakato wa kusomwa bajeti hiyo bungeni kama barua hiyo inavyosomeka hapo JUU.

1 comment: