Search This Blog

Wednesday, July 27, 2011

Hili haliniingii akilini



















Jamani kuna watu wanapenda kuiga ubunifu wa wenzao. Walianza kuiga kwenye matumizi ya Helcopiter sasa wanaiga matumizi ya MAGWANDA!!! Mwishowe wataiga hata salamu.....utasikia ...Peoples powerrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment