Search This Blog

Thursday, May 24, 2012

Kamanda Mnyika ashinda kesi:


HOJA zenyewe zilizokuwa zinalalamikiwa na Hawa Nghumbi ni hizi:
1)Kwamba Mnyika alimtuhumu kuuza nyumba za UWT
2)Kutumia Laptop za Mnyika Kuhesabu kura
3)Kuingia watu wengi wa CHADEMA ktk chumba cha kuhesabia kura
4)Kuzidi kwa kura hewa 16,000
5)Kukosewa kwa karatasi za kujumulisha kura (form)


Hoja zote zimepigwa chini: Peopleeeeeeeessssss Poweeeeeeeeeeeerrrrrrrrrrr

No comments:

Post a Comment