Search This Blog

Tuesday, May 29, 2012

Uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc na viongozi wa juu wa chadema


Kimbunga cha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chaikumba Washington DC

Uongozi wa juu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc kwenye meza ya juu wa kwanza kushoto Libe Mwangombe, akifatiwa na Mhe. Peter Msigwa, Mwenyekiti wa tawi Mhe. Kalley Pandukizi, Mhe. Zitto Kabwe, na Mhe. Nassari Joshua, Dogo Janja, mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Mirage Hall uliopo University Of Bld, Hysattsville, Maryland Nchini Marekani.

Mhe. Leticia Nyerere (Picha ya kwanza kushoto) akiwa na Mhe. Maryam Msabaha kwenye uzinduzi wa watawi la Chadema Washington Dc

Wantazania waishio DMV Nchini Marekani wakiwa katika uzinduzi wa tawi la chadema Washington Dc


Baadhi ya wakereketwa wachukua kadi baada ya uzinduzi wa tawi la chadema Washington

Mhe. Nassari Joshua (Dogo Janja) Akishanga mamia ya wana DMV waliofurika katika uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc

Mhe. Peter Msigwa akiandika masuali yaliokuwa yakiulizwa na baadhi ya wakireketwa

Mwanachama wa chadema kutoka Boston Ma na kamanda Doto wakiuliza masuali tafauti katika mpango mzima wa uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc uliofanyika jana Mei 27, kwenye ukumbi wa Mirage Hall uliopo University Bld, Hysattsville, Maryland Nchini Marekani.

Mhe. Zitto Kabwe akitoa hutba kuelezea mpango mzima wa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania


Wana DMV wakisikiliza hutuba ya Mhe. Zitto Kabwe. (Picha zote na swahilivilla.blogspot.com)


Viongozi wa Chadema wakijipanga mpango wa kuwapa wana DMV, kadi za chama

Wakereketwa wa Chadema wakiwa wameshikilia kadi zao za chama hicho


Mzee wa mipangilio a.k.a Cosmas akipata picha na Mhe. Zitto Kabwe, pamoja na wakereketwa


Mhe. Leticia Nyerere (Picha ya kwanza kushoto) akiwa na Idrisa Jumbe all the way from Dar na ni mdhamini wa pendo wa Mhe. Maryam Msabah ni Mbunge wa viti maalum Zanziba, pamoja na Mhe. Nassari Joshua (Dogo Janja) na mwana wa Mhe Leticia. Picha ya pili Kalley Pandukizi, Mwana Pamoja na Mh. Zitto Kabwe

No comments:

Post a Comment