Search This Blog

Sunday, May 27, 2012

CHADEMA yazindua M4C kwa kishindo DSM


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwahutubia wananchi wa jijini Dar es Salaam, waliohudhuria mkutano wa chama hicho uliofanyika kwenye Viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam leo, kuhusu Dira ya Mabadiliko 'Movement For Change'.


Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, akitembeza kibakuli kuchangisha fedha za kuendeshea Kampeni hiyo.


Sehemu ya wananchi waliohudhuria mkutano huo.


Kutoka (kushoto) ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Tundu Lisu na Godbless Lema.

No comments:

Post a Comment