Search This Blog

Wednesday, March 9, 2011

DAWA YA LOLIONDO HII HAPA INAITWA "MUGARIGA"

Mmea unaojulikana kama "Murigariga".
Babu anasema alioteshwa kuwa mti huo wa porini na Mungu na kuwa unatibu magoniwa yote sugu, sharti ni kuwa ni lazima yeye ndo akupe kikombe hicho cha "uzima" ndo unapona, ukienda kujitengezea mwenyewe haifanyi kazi, bila shaka ndo sababu ya umati mkubwa kujazana katika kijiji kidogo cha Samunge huko Loliondo.
FOLENI ya magari kwenda Loliondo kwa Mchungaji Mstaafu, Ambilikile Mwasapile
Dawa ikiwa jikoni ikichemshwa
MCHUNGAJI mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambukile Mwasapile (78), wa kijiji cha Samunge-Loliondo, wilayani Ngorongoro, Arusha akitibu wagonjwa. 




No comments:

Post a Comment