Search This Blog

Saturday, April 21, 2012

Breaking news: Mawaziri 7 wajiuzulu

Taarifa za uhakika zilizotufikia ni kuwa Mawaziri waliokubali kujiuzulu  ni pamoja na Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami;  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Mkuchika; Waziri wa Uchukuzi Omari Nundu; na Waziri wa Afya, Dk. Haji Mponda.

 
Wengine wanaodaiwa kujiuzulu ni:
 
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja; Naibu Waziri wa Afya, Lucy Nkya; na Naibu Waziri wa Viwanda, Lazaro Nyarandu. 

No comments:

Post a Comment