Search This Blog

Tuesday, December 14, 2010

KIKWETE AKABIDHIWA KOMBE LA CHALLENGE NA VIJANA WA KILIMANJARO STARS

JK akiwa katika picha ya pamoja na kikosi kizima cha Timu ya Kili Stars Ikulu jijini Dar es Salam

Nahodha wa Timu ya Taifa Tanzania Bara(Kili Stars) Shadrack Nsajigwa akimkabidhi JK Kombe la Chalenji Ikulu jijini Dar leo baada ya timu hiyo kuibuka Bingwa wa michuano ya Chalenji jana.Rais Kikwete aliialika timu hiyo Ikulu kuipongeza. Pembeni yake ni Mama Salma Kikwete na Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Dr.Emmanuel Nchimbi.

No comments:

Post a Comment