Search This Blog

Tuesday, September 27, 2011

JE HII NDIYO TANZANIA TUNAYOITAKA WAKATI WA UCHAGUZI??

CCM ndo wanaoongoza kwa ushawishi wa vurugu maeneo mengi kama Igunga kwa kuwatisha wananchi ili ichaguliwe. Je ndiyo Tanzania tunayosikia ni nchi ya amani? Kama ni amani mbona Viongozi kama huyu Aden Rage anapiga kampeni akiwa na bastola kiunoni. Nijuavyo mimi kila mikutano ya adhara huwa kuna askari wa kulinda usalama. Inakuwaje silaha hadharani hivyo???

1 comment: