Search This Blog

Saturday, August 6, 2011

nani anayemuonea mwenzake HURUMA? je ni anayetoa futari au anayepokea? Check picha.

Hapa mtoto yatima kuna kitu moyoni mwake anajiuliza na kushangaa!!! Lakini mtoaji wa futari wala inaonekana hajali mshangao wa mtoto!! Kuna  jambo zito mtoto analo moyoni. Kuna siku atasema!!!

No comments:

Post a Comment