Search This Blog

Sunday, June 10, 2012

R.I.P Kamanda Bob Makani.


Habari zilizothibitishwa na uongozi wa CHADEMA ni kuwa Mzee Bob Makani,mwenyekiti mstaafu wa chama hicho amefariki dunia jioni ya tarehe 9 june 2012.Mjengwablog inaungana na familia yake,chama chake na watanzania wote kuomboleza msiba wa mwanaharakati huyu.Mungu amlaze mahali pema paradiso

No comments:

Post a Comment