Search This Blog

Friday, January 27, 2012

YANAYOTOKEA NYUMA YA PAZIA



Bado tunaendeleza mila. Kuna jamii (kabila) zaidi ya 16 mkoani Mara zinazojihusisha na ukeketaji kwa watoto wa kike. Msimu ndo huu baada ya mavuno, mbali na wasichana ambao hawako tayari kutukanwa na wenzao visimani kuwa ni 'wasagane', sasa hali imehamia kwa vichanga, majumbani ama kwa kushirikiana na manesi huko mahospitalini.

Ile sheria ya makosa ya kujamiiana (SOSPA) imelala fofofo!

No comments:

Post a Comment